Uume wangu umevimba baada ya kula Tunda la jirani! - EDUSPORTSTZ

Latest

Uume wangu umevimba baada ya kula Tunda la jirani!

Uume wangu umevimba baada ya kula Tunda la jirani!

Uume wangu umevimba baada ya kula Tunda la jirani!


Niliishi karibu na jirani yangu Kim ambaye alikuwa pia ni rafiki wangu wa dhati kwani alinisaidia mambo mengi maishani, siku ziliposonga, Kim alifanikiwa kupata jiko na hapo ikawa urafiki wangu na wake ukaanza kudidimia kwa kuwa wakati mwingi alitumia kukaa na mke wake.

Hatungepata tena wakati wa kwenda kutazama mechi, kulewa vilabuni na kadhalika, mimi kwa wakati ule sikuwa nimefanikiwa kuoa kwani nilidhani kwamba wakati wangu haujafika.

Kwa mara nyingi niliwatembelea nyumbani kwao tukapiga gumzo na hata kushirika chakula kwa pamoja, kwa vile Kim alikuwa akifanya kazi ya usiku ilikuwa ni fursa muhimu kwangu kupata mpenyo hadi nyumbani mwake kupiga gumzo na mke wake kwa wakati wowote.

Nilifanya mazoea ya kuingia kwenye nyumba ya Kim kila wakati alipokuwa katika shuguli za kazi usiku, mke wake alikuwa mrembo ajabu mtoto wa kidigo aliyeumbwa akaumbika na hapo damu ilinichemka.

Mara nyingi tulizungumza hadi usiku wa manane lakini hakuna kitu kilichotokea, baada ya wiki hivi mazungumzo yetu yalianza kubadilika kwani tulianza kuzungumzia mambo ya mapenzi.

Dada yule alinielezea bayana kwamba hakufurahia kazi ya mume wake ya usiku kwani hali ile ilimwacha akisononeka na mwenye upweke.

Alisema kuwa alitamani mume wake aiache kazi ile lakini hakuwa na budi kwa kuwa pato lao lilitoka kwenye kazi ile, nilifahamu fika kwamba alikuwa akizungumzia suala zima la mapenzi na hapo nilijiambia akilini kuwa ni mimi pekee nilikuwa shujaa wa kumwondolea upweke wake wakati wa usiku.

Mapenzi yetu na mke wa Kim yalinoga kwani hata tuliaanza kushiriki uroda, nilirauka asubuhi na mapema kabla mume wake hajaingia ili kuepuka vita kwani nilikuwa nakula tunda lake.

Nilifanya kitendo hiki kwa muda wa wiki tatu hivi, Kim hakugundua lolote wala hakuuliza mke wake chochote na hii ilinipa fursa ya kujiita kinara katika shughuli nzima hii ya kumtafuna mke wake, nilifahamu kwamba Kim hangegundua chochote.

Baada ya siku na majuma kadhaa mambo yalianza kuenda mrama, usaa ulinitoka kwenye sehemu zangu za siri huku ukiandamana na vijidudu vidogo mithili ya funza.

Nilishtushwa na mambo haya kwani hata sehemu zile zilikuwa kubwa ajabu hata kuvaa suruali ndefu ilikuwa ni kazi kwa ajili ya maumivu.

Nilijiambia moyoni kwamba Kim alikuwa ametembelea mahali ili kukinga mke wake, hili lilikuwa ni kweli baada ya Joseph rafikiye Kim kuniambia kwamba Kim alikuwa amemfunga mke wake kushiriki mapenzi na mwanaume mwingine, na mtu aliyefanikisha mpango huo ni African Doctors.

Nilimuomba Joseph anielekeze kwa African Doctors ili nirejeshe mambo kuwa kawaida, nilipofika kwenye ofisi za African Doctors alisema kuwa mtu aliyekuwa na uwezo wa kutatua shida yangu ni mume wa mke niliyefanya naye mapenzi, iwapo tu ningemuomba msamaha basi mambo yangu yangekuwa shwari.

Nilifunga safari na kurejea kwangu na hapo siku iliyofuatia nilipiga moyo konde na kumtafuta Kim ili nimuombe msamaha, alikubali na hali ikarejea shwari, tangu siku ile nimekuwa nikiona wake za watu kama sumu.

African Doctors ana uwezo wa kutatua migogoro ya mashamba, kumaliza suala zima la wizi na mengineyo, anatibu magonjwa kama vile kifua kikuu, kifaduro, msukumo wa damu na mengineyo kwa siku tatu tuu.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com

Mwisho.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz