Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Timu ya Taifa Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' imeifunga Djibouti mabao 7-0 katika mechi ya pili baada ya kwanza kushinda 5-0 na kufanya jumla ya mabao kuwa 12-0 mechi ya kufuzu kucheza fainali Kombe la Dunia Colombia mwakani.
Timu ya Taifa Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' imeifunga Djibouti mabao 7-0 katika mechi ya pili baada ya kwanza kushinda 5-0 na kufanya jumla ya mabao kuwa 12-0 mechi ya kufuzu kucheza fainali Kombe la Dunia Colombia mwakani. Mechi hizo zimepigwa zote katika Uwanja wa Azam Complex, Dar (Oktoba 8 na 11)ambapo sasa Tanzanite imepenya itavaana na Nigeria raundi ya tatu.
No comments:
Post a Comment