RASMI: Simba Vs Coastal Union kupigwa Azam Comlex - EDUSPORTSTZ

Latest

RASMI: Simba Vs Coastal Union kupigwa Azam Comlex

 #RASMI: Simba Vs Coastal Union kupigwa Azam Comlex

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Rasmi Bodi ya Ligi Kuu Bara imekubali ombi la klabu ya Simba kuhama uwanja wa nyumbani kutoka Uhuru stadium hadi Azam complex kwenye mchezo wao wa ligi kuu (NBC) dhidi ya Coastal union utakaochezwa Alhamisi 21 September 2023.


Rasmi Bodi ya Ligi Kuu Bara imekubali ombi la klabu ya Simba kuhama uwanja wa nyumbani kutoka Uhuru stadium hadi Azam complex kwenye mchezo wao wa ligi kuu (NBC) dhidi ya Coastal union utakaochezwa Alhamisi 21 September 2023. Hi ni kufuati klabu ya Simba kutumia Uwanja wa Azam Complex katika michuano ya klabu bingwa dhidi ya Power Dynamos kwaiyo Lengo ni kutoka kuuzoea Uwanja huo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz