Mechi tatu za raundi ya tatu kusimama dakika moja kuombeleza - EDUSPORTSTZ

Latest

Mechi tatu za raundi ya tatu kusimama dakika moja kuombeleza

 Mechi tatu za raundi ya tatu kusimama dakika moja kuombeleza

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania 'TPLB'imetoa maagizo kwa wasimamizi wa michezo iliyosalia ya raundi ya tatu baada ya kutokea kwa ajali ya basi lilikuwa na mashabiki wa Namungo Fc na kusababisha vifo na majeruhi.


Bodi ya Ligi imewaagiza wasimamizi hao kutumia muda wa moja kabla ya mchezo kuanza kama ishara ya kuomboleza Vifo vya mashabiki wanne waliofariki katika ajali hiyo.


"Kufuatia ajali hiyo Bodi inawaelekeza wasimamizi wa michezo yote mitatu iliyosalia kwenye mzunguko wa tatu kuhakikisha timu zinasimama dakika moja kabla ya mchezo kuanza kama ishara ya kuomboleza Vifo vya mashabiki hao".


Aidha Bodi inatoka pole kwa uongozi wa Namungo, mashabiki, familia na wote walioguswa na msiba huo na kuwatakia nafuu ya mapema majeruhi wote.


Mashabiki hao walikuwa wakisafiri kwenda Dar es salaam kwenye mchezo utakao wahusisha Namungo Fc akiwa ugenini dhidi ya Yanga katika uwanja wa Azam Complex Leo saa moja usiku.


Chanzo: Mwanaspoti



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz