Kitayosce yafungiwa kwa mara nyingine na FIFA - EDUSPORTSTZ

Latest

Kitayosce yafungiwa kwa mara nyingine na FIFA

Kitayosce yafungiwa kwa mara nyingine na FIFA

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya Kitayosce Zamani Tabora United imefungiwa kusajili Kutokana na kushindwa kumlipa aliyekuwa Mlinzi wao wa kushoto raia wa Ghana Asante Kwasi,

Asante kwasi alishinda shauri hilo na klab ya Kitayosce kuamtiwa kumlipa stahiki zake ndani ya siku 45 kitu ambacho hakikufanyika,

Asante kwasi anaidai klab ya Kitayosce Madai ya Mshahara na malimbikizo ya Mishahara yake,

Sasa Rasmi FIFA Imewafungia kusajili Mpaka pale watakapo malizana na Mlimzi huyo wa kushoto.

Soma taarifa ya TFF kwa urefu hapa chini, kisha tupe maoni yako



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz