Droo Super League kesho - EDUSPORTSTZ

Latest

Droo Super League kesho

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Droo ya African Football League (Super League) inatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi, Septemba 02 huko Misri


Simba ni miongoni mwa timu nane ambazo zitashiriki michuano hiyo maalum ambayo inafanyika kwa mara ya kwanza barani Afrika


Timu zimewekwa katika makundi mawili ya timu nne kulingana na alama walizokusanya katika mashindano ya CAF miaka mitano iliyopita


Kundi A lina timu za Al Ahly, Mamelod Sundowns, Wydad Athletic na Esperace


Kundi B lina timu za Simba, TP Mazembe, Enyimba na Perto Luanda


Timu za kundi moja hazitakutana kwenye hatua ya awali kwa maana timu kutoka kundi A zitapangwa kuchuana na timu kutoka kundi B


Simba itafungua michuano hiyo Oktoba 20 kwa kuchuana na Al Ahly, Mamelod Sundowns, Wydad au Esperance



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz