ZFF waweka ngumu kwa wachezaji kutoka Tanzania Bara - EDUSPORTSTZ

Latest

ZFF waweka ngumu kwa wachezaji kutoka Tanzania Bara

 ZFF waweka ngumu kwa wachezaji kutoka Tanzania Bara

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Bodi inayosimamia Ligi kuu ya Zanzibar (PBZ) imepitisha kanuni mpya za Usajili kuwa Klabu yoyote itakayomsaini mchezaji kutoka Tanzania bara ataingizwa kwenye system kama Mchezaji wa kigeni kwa maana lazima akatiwe Kibali cha kuishi Zanzibar ambacho kina gharimu pesa za kitanzania laki 5.


Pia kwenye klabu Moja hawatakiwi kuzidi wachezaji 9


Kwa ligi ngazi ya Mkoa Mvhezaji kutoka Tanzania bara atakatiwa kibali cha kuishi na kufanya kazi kwa msimu. Mmoja ambacho kita gharimu Pesa za kitanzania Laki 3.


Kwa upande wa Tanzania Bara, mchezaji akisajiliwa kutoka Zanzibar anahesabika ni mzawa.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz