TShishimbi Atua Tabora united - EDUSPORTSTZ

Latest

TShishimbi Atua Tabora united

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Kiungo wa zamani wa Yanga Papy Tshishimbi amejiunga na klabu ya Tabora United ya mkoani Tabora


Tshishimbi ametua Tabora akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na Ihefu Fc


Tshishimbi aliitumikia Kitayosce Fc msimu mmoja nyuma kabla ya kujiunga na Ihefu


Wakati huo Kitayosce Fc ilikuwa ikicheza play-off kuwania nafasi ya kucheza ligi kuu bila ya mafanikio


Amerejea kwa mara ya pili lakini sasa timu hiyo ikiwa Ligi Kuu



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz