Taarifa Mpya kutoka Simba ni kuhusu Aubin Kramo - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kutoka Simba ni kuhusu Aubin Kramo

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mashabiki wa Simba wana shauku kubwa ya kumuona winga Aubin Kramo aliyetua Msimbazi kutoka klabu ya Asec Mimosas katika dirisha hili la usajili


Kramo alicheza kwa takribani dakika 15 kwenye mchezo wa Simba Day dhidi ya Power Dynamo, tangu wakati huo hajaonekana tena uwanjani


Daktari wa Simba Edwin Kagabo amesema winga huyo ni majeruhi, alipata majeraha kabla ya Ngao ya Jamii


"Kramo aliumia mazoezini wakati tukijiandaa na mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida BS, tunashukuru hali yake inaendelea vizuri," alisema Kagabo


Kramo alikosa mechi zote mbili za Ngao ya Jamii dhidi ya Singida BS na Yanga na pia mchezo wa kwanza wa ligi kuu dhidi ya Mtibwa Sugar


Wanasimba watarajie kumuona uwanjani karibuni

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz