Matokeo ya Simba vs Dodoma Jiji FC NBC Premier League Leo 20 August 2023 - EDUSPORTSTZ

Latest

Matokeo ya Simba vs Dodoma Jiji FC NBC Premier League Leo 20 August 2023

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 SIMBA 2 VS DODOMA JIJI 0

DAKIKA : FT

Mnyama ameunguruma uwanja wa Uhuru akiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa ligi kuu ya NBC


Jean Baleke ameendeleza kasi yake ya kupachika mabao msimu huu, leo akifunga bao lake la pili katika mchezo wa pili mfululizo


Ni ushindi ambao umeipeleka Simba kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama sita

Mechi ilikuwa live kwenye app yetu kama bado hujaipakua BOFYA HAPA




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz