Yanga ni nyumbani, nitarudi - Mayele - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga ni nyumbani, nitarudi - Mayele

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele amewaaga Wanachama na Mashabiki wa timu hiyo baada ya kujiunga na Pyramids Fc ya Misri


Mayele amewashukuru Wananchi kwa sapoti katika misimu miwili ambayo amecheza Tanzania


Amesema kwa ushirikiano wa viongozi, wachezaji, benchi la ufundi na mashabiki katika misimu miwili wameweza kushinda mataji yote ya ndani pamoja na kucheza fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika


Mayele amebainisha kuwa haikuwa rahisi kwake kuondoka Yanga lakini ni wakati umefika wa kwenda kusaka changamoto sehemu nyingine


Amesema Yanga ni nyumbani, anaamini wakati mwingine atarejea na atapokelewa na kupewa sapoti kama aliyopata mwanzo



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz