Taarifa mpya kutoka Simba asubuhi hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kutoka Simba asubuhi hii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Msafara wa kikosi cha Simba unatarajiwa kuondoka nchini kesho Jumanne kuelekea nchini Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya (pre-season 2023/24)


Baada ya ratiba ya mechi za Ngao ya Jamii kutoka, Simba itakuwa na takribani wiki nne za maandalizi kabla ya kuivaa Singida FG katika mchezo wa nusu fainali ambao utapigwa August 10 katika uwanja wa Mkwakwani


Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema watakamilisha utambulisho wa wachezaji wapya kabla ya kikosi kuondoka


Bado wanasimba wanasubiri utambulisho wa mlinda lango, mlinzi wa kushoto na kiungo mkabaji ambao imeelezwa usajili wao umekamilika


Wachezaji wote wa Simba wamefanyiwa vipimo vya afya tayari kwa safari ya Uturuki



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz