Sikukuu ya Wananchi ni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Sikukuu ya Wananchi ni leo

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Wananchi wote leo Wanakutana uwanja wa Benjamin Mkapa katika kilele cha wiki ya Mwananchi


Hii ni siku maalum kwa wanafamilia ya Yanga, kuukaribisha msimu mpya kwa kufurahi pamoja


Kutakuwa na burudani za kila aina uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 4 asubuhi


Mechi za kirafiki za timu ya vijana, wanawake, wakongwe na viongozi wa Yanga dhidi ya Wasanii zitapigwa


Burudani kutoka kwa wasanii wakubwa nchini, hii leo wasanii wote wakubwa hapa Tanzania watakuwepo uwanja wa Benjamin Mkapa


Utambulisho wa kikosi kwa ajili ya 2023/24 utafanyika na kisha kufuatiwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Yanga dhidi ya Kaizer Chiefs, saa 1 usiku


Hili ni siku ya furaha, siku ya mashabiki wa Yanga kufurahi pamoja na timu yao..!



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz