Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Leo Julai 19, Aliekuwa nyota wa Yanga raia wa Ghana Super Ben Morrison alienda katika kambi ya Yanga ambayo ipo Avic Town Kigamboni kuwasalimia.
Ndipo alikutana na mchezaji mwenzake Mkude ambaye walicheza pamoja wakati wakiwa Simba SC na kuibua furaha baina yao.
Ni Wapi Morrison atacheza msimu mpya? tutafahamu karibuni.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment