Mauya, Mwamnyeto wapeleka tabasamu Tanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Mauya, Mwamnyeto wapeleka tabasamu Tanga

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Taasisi ya Mwamnyeto Foundation ambayo imeanzishwa na wachezaji wawili wa Yanga, Bakari Mwamnyeto na Zawadi Mauya, imeandaa matamasha mawili yatakayofanyika katika mikoa ya Tanga na Morogoro


Lengo la matamasha hayo ni kutoa misaada mbalimbali na kurudisha kwa Jamii


Tamasha la kwanza litafanyika leo Julai 2, 2023 mkoani Tanga ambalo litahusisha timu ya Mwamnyeto na Mauya dhidi ya timu ya mkoa wa Tanga. Tamasha la pili litafanyika Julai 7, 2023 mkoani Morogoro


Rais wa Yanga Injinia Hersi Said ambaye juzi alikuwa mkoani Morogoro kuwaunga mkono Kibwana Shomari na Dickson Job katika tamasha kama hilo, anatarajiwa kuwa mkoani Tanga kuwaunga mkono Mauya na Mwamnyeto


Matamasha yote mawili yanahusisha mambo mawili, jambo la kwanza ni kutembelea vituo vya watu wenye uhitaji maalum na jambo la pili itakuwa ni mechi ambayo itahusisha timu itakayoundwa na Mwamnyeto na Mauya na watu wao dhidi ya combine ya Mkoa wa Tanga pamoja na Morogoro



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz