Haji Manara atoa kauli hii kuhusu Yanga kuweka kiingilio kubwa siku ya Mwananchi - EDUSPORTSTZ

Latest

Haji Manara atoa kauli hii kuhusu Yanga kuweka kiingilio kubwa siku ya Mwananchi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mdau wa masuala ya soka nhini na msemaji wa Klabu ya Yanga aliyefungiwa, Haji Manara amekuwa na mtazamo tofauti na wadau wa soka kuhusu tamasha la wiki ya Mwananchi ambalo Kilele chake kilifanyika juzi kwenye dimba la Benjamin Mkapa.


Manara amejaribu kutoa somo kuhusu matamasha kama haya, yaani huwezi kualika timu kubwa halafu ukataka kuweka kiingilio cha chini, kwanza unakuwa hujaitendea haki ile timu mualikwa na ukubwa wake.


"Yaani unaalikaje timu kama Kaizer Chiefs halafu kiingilio kiwe kidogo huo ukubwa wetu tunaotamba nao uko wapi," Haji Manara.


Hata hivyo Haji amekiri wazi pengine inawezekana wakawa walifeli kwenye muda sahihii wa kuwatangazia watu viingilio lakini siyo vinginevyo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz