Yanga yazidi kupanda viwango vya ubora - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yazidi kupanda viwango vya ubora

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Kwa mujibu wa Shirikisho la Takwimu Duniani (IFFHS), Yanga imepanda kwa nafasi nne katika viwango vya ubora barani Afrika kwa mwezi Juni 2023


Takwimu zilizotolewa na IFFHS kwa mwezi Juni 2023, zinaonyesha Yanga inashika nafasi ya sita kutoka nafasi ya 10 ya mwezi Mei


Hii hapa orodha ya klabu 10 bora Afrika;


1. Al Ahly

2. Wydad Athletic

3. Zamalek

4. Pyramids

5. Sundowns

6. Young Africans

7. Raja

8. AS FAR

9. Future FC

10. CR Belouizdad


Takwimu za IFFHS zinazingatia michuano yote ambayo timu imeshiriki,



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz