Wachezaji Wanne wa Yanga katika kikosi cha mashindano CAF CC - EDUSPORTSTZ

Latest

Wachezaji Wanne wa Yanga katika kikosi cha mashindano CAF CC

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Wachezaji wanne wa Yanga wameiingia katika orodha ya kikosi bora cha mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC) 


Mlinda lango Djigui Diarra, walinzi Ibrahim Bacca na Bakari Nondo Mwamnyeto pamoja na mshambuliaji Fiston Mayele wamejumuishwa katika kikosi hicho


Bacca na Mwamnyeto wameipa heshima Tanzania kuwa wachezaji wa ndani waliojumuishwa katika kikosi hicho




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz