Simba waipiga bao Yanga CAF

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baada ya kumalizika kwa msimu wa 22/23 wa mashindano ya CAF ngazi ya Klabu, Shirikisho la soka Afrika limeweka hadharani Viwango vya Klabu zilizofanya vizuri katika michuano yake kwa miaka mitano iliyopita huku Simba SC ya Tanzania ikifanikiwa kushika nafasi ya 9.


1. Al Ahly — 83 points 2. Wydad — 74 points 3. ES Tunis — 56 points 4. Sundowns — 51 points 5. Raja CA — 51 points 6. Zamalek — 39 points 7. RS Berkane — 37 points 8. CR Belouizdad — 36 points 9. Simba — 35 points 10. Pyramids — 35 points


Ikumbukwe Simba SC imecheza robo fainali 3 za Klabu bingwa na moja ya Kombe la Shirikisho na hicho ndicho kigezo kilichowapa nafasi ya kuorodheswa ndani ya Klabu bora kwa miaka mitano.


USMA imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Shirikisho lakini haipo hata kumi bora, lakini Simba hata nusu fainali hawajafika wapo kumi bora, maana yake ili utajwe hapo lazima uwe na kiwango bora chenye muendelezo katika michuano hii.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post