Simba, Singida Fountain waoneshana ubabe usajili wa beki huyu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba, Singida Fountain waoneshana ubabe usajili wa beki huyu

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Tetesi katika kipindi hiki cha usajili zinasema Klabu ya CottonSports FC ya Cameroon imeripotiwa kuitaarifu Simba SC ya Tanzania kuwa beki Che Fondoh Malone Jr atauzwa ikiwa dau la dola laki moja na nusu (Tsh milioni 357) litatua mezani.


Che Malone (24) raia wa Cameroon tayari imefikia makubaliano ya maslahi binafsi kwa ajili ya kusaini mkataba wa kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi msimu ujao.


Hata hivyo Klabu ya Singida Fontaine Gate nayo iliripotiwa kuweka ofa mezani katika juhudi za kuwazidi ujanja Simba SC na kumsajili beki huyo ambaye mkataba wake na CottonSports utafikia ukomo wiki chache zijazo ingawa Cotonsport haitaki kumwachilia.


Simba inasaka kwa nguvu zote mlinzi wa kati baada ya kuachana na beki wake Mohammed Outtara ambae alishindwa kuonesha kiwango klabuni hapo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz