Mayele aibuka mfungaji Bora Kombe la Shirikisho - EDUSPORTSTZ

Latest

Mayele aibuka mfungaji Bora Kombe la Shirikisho

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mshambuliaji na mfumaniaji nyavu wa Young Africans SC Fiston Kalala Mayele amezawadiwa tuzo ya mfungaji Bora wa michuano ya Shirikisho Barani Afrika katika msimu wa 2022/23 baada ya kuibuka kinara wa upachikaji magoli katika mashindano hayo yaliyofika tamati jana Jumamosi Juni 3.


Mayele ananyakua tuzo hiyo akiwa kinara wa ufungaji akiwa na mabao Saba huku akishuhudia Ubingwa ukienda kwa USM Algiers.


Katika msimu wa 2022/23 Mayele amefunga jumla ya magoli 15 katika michuano yote ya CAF aliyoshiriki kwa maana ya Klabu Bingwa na Shirikisho.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz