Matokeo Usm Alger vs Yanga June 03 2023 - EDUSPORTSTZ

Latest

Matokeo Usm Alger vs Yanga June 03 2023

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya USM Alger haukutosha kuipa Yanga nafasi ya kutwaa kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya USM Alger kushinda taji kwa faida ya mabao ya ugenini

Dakika 180 za mchezo zimemalizika kwa sare ya mabao 2-2 lakini ushindi wa mabao 2-1 ambao USM Alger walipata uwanja wa Benjamin Mkapa umewanufaisha kutwaa taji la Shirikisho

Bao pekee la Yanga lilifungwa na Djuma Shaban kupitia mkwaju wa penati baada ya Kennedy Musonda kufanyiwa madhambi kwenye dakika ya tano

Ulikuwa mchezo uliotawaliwa na vurugu nyingi kutoka kwa mashabiki ambapo mechi ilisimamishwa mara mbili kutokana na moshi kutanda uwanjani



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz