Ligi ya Mabingwa kuanza kutimua vumbi August 2023 - EDUSPORTSTZ

Latest

Ligi ya Mabingwa kuanza kutimua vumbi August 2023

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mechi za hatua ya awali michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika na kombe la Shirikisho zinatarajiwa kuanza mwezi August 2023


Kulingana na ratiba ya awali iliyotolewa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), mechi za mtoano hatua ya awali zitapigwa 18-19 August 2023 na marudiano kupigwa 25-26 August 2023


Timu zitakazovuka hatua ya awali, zitacheza mechi za raundi ya kwanza 15-16 Septemba 2023 na mechi za marudiano kupigwa 29-30 Septemba 2023


Droo ya hatua ya makundi itafanyika mwezi Novemba wakati mechi za hatua hiyo zikitarajiwa kuanza mwezi Disemba 2023


Wananchi wanatarajiwa kuanzia ugenini na kumalizia nyumba kwenye mechi za hatua ya awali na hata raundi ya kwanza kama watafanikiwa kuvuka



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz