Ishu ya Luis Miquissone na Simba imefikia hapa - EDUSPORTSTZ

Latest

Ishu ya Luis Miquissone na Simba imefikia hapa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Simba imerejea kwenye harakati za kumsajili winga wa Al Ahly Luis Miquissone ambaye hana nafasi katika kikosi cha mabingwa hao wa kihistoria ligi ya mabingwa barani Afrika


Miquissone amekuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi sita baada ya muda wa mkopo na klabu ya Abha ya Saudi Arabia kumalizika huku Al Ahly wakimuondoa katika mipango yao


Ni miongoni mwa wachezaji ambao watauzwa na Al Ahly katika dirisha hili la usajili na nafasi kubwa kwake kurejea Simba ni kubwa


Mahusiano mazuri kati ya Simba na Al Ahly yanaweza kurahisisha mazungumzo na pengine Simba kumpata nyota huyo


Hata hivyo, Miquissone atalazimika kupunguza mshahara wake ambapo katika klabu ya Al Ahly anapokea kitita cha Tsh Milioni 95 kwa mwezi



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz