Breaking News: Simba yatangaza kuachana na mchezaji huyu - EDUSPORTSTZ

Latest

Breaking News: Simba yatangaza kuachana na mchezaji huyu


 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah baada ya kumalizika Msimu wa mashindano wa 2022/23


Okrah raia wa Ghana amemaliza mkataba wake Wekundu wa Msimbazi na uongozi umeamua kutohuisha mkataba wake


Okrah alijiunga na Simba akitokea Benchem United ya Ghana ambapo ameonyesha uwezo mkubwa katika mechi zote alizocheza


Katika msimu mmoja aliohudumu ndani ya Simba Okrah amekuwa na mchango mkubwa akicheza mechi 17 na kufunga mabao manne na kusaidia kupatikana kwa jingine moja


Simba imeanza mchakato wa maboresho ya kikosi chao kuelekea msimu wa mashindano 2023/24



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz