Breaking: Baada ya kutemwa simba Erasto Nyoni atambulishwa kwenye timu hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Breaking: Baada ya kutemwa simba Erasto Nyoni atambulishwa kwenye timu hii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baada ya klabu ya Simba kutangaza kuachana na kiungo mkongwe Erasto Nyoni, ni rasmi mchezaji huyo kiraka ametua Namungo Fc amnbao wametambulisha usajili wake leo



"Tunayofuraha kuwataarifu kuwa Erasto Edward Nyoni amejiunga kuitumikia Timu yetu ya Namungo Fc akitokea Simba Sc. Karibu kwenye Familia ya Wauwaji wa Kusini Erasto Edward Nyoni," ilisema taarifa ya Namungo


Jana Simba ilitangaza kuachana na Nyoni baada ya kuwatumikia wekundu wa Msimbazi kwa miaka sita


Beno Kakolanya na Jonas Mkude nao waitangazwa kutokuwa sehemu ya kikosi cha Simba pia


Beno na Mkude wanatajwa kujiunga na klabu ya Singida Fountain Gate (zamani Singida Big Stars)



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz