Rais Samia anunua Tiketi 5000 Yanga vs USM Algiers - EDUSPORTSTZ

Latest

Rais Samia anunua Tiketi 5000 Yanga vs USM Algiers

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amenunua tiketi 5000 kuelekea mchezo wa fainali ya kombe la shirikisho Afrika kati ya Yanga na USM Algers utakaopigwa Mei 28 katika dimba la Benjamini Mkapa.


Akiwasilisha ahadi hiyo ya Rais Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema lengo la Rais Samia ni kutengeneza mazingira mazuri kwa Yanga kutwaa ubingwa wa shirikisho Afrika na kuandika historia mpya kwenye soka la Tanzania.


Aidha Msigwa amesema Rais Samia amewataka wadau wengine kujitokeza kununua tiketi kwa ajili ya mchezo huo ili kuwapa nafasi mashabiki wengi zaidi kuhudhuria mchezo huo na Yanga kuutumia vyema uwanja wa nyumbani kwa nguvu ya mashabiki.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz