Msemaji Simba amchangia Fei Toto safari ya CAS - EDUSPORTSTZ

Latest

Msemaji Simba amchangia Fei Toto safari ya CAS

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Msemaji wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally aunga mkono kampeni ya kumchangia mchezaji Feisal Salum ili aweze kulipia gharama za Jalada la kesi yake kwenye mahakama ya michezo "CAS" ya kuondoka Yanga kwa kuvunja mkataba.


Msemaji wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally aunga mkono kampeni ya kumchangia mchezaji Feisal Salum ili aweze kulipia gharama za Jalada la kesi yake kwenye mahakama ya michezo "CAS" ya kuondoka Yanga kwa kuvunja mkataba. Feisal ana kesi na Yanga baada ya kutaka kuvunja Mkataba kinyume na taratibu tangu mwishoni mwa mwaka jana.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz