Lakers waipiga Warriors kama ngoma - EDUSPORTSTZ

Latest

Lakers waipiga Warriors kama ngoma

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mabingwa mara 17 wa ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA, La Lakers wameshinda mchezo wa 3 wa nusu fainali ya ukanda wa Magharibi dhidi ya Golden State Warriors kwa jumla ya alama 127 kwa 97 na kuwa na matokeo ya 2-1 kati ya 7.


Mabingwa mara 17 wa ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA, La Lakers wameshinda mchezo wa 3 wa nusu fainali ya ukanda wa Magharibi dhidi ya Golden State Warriors kwa jumla ya alama 127 kwa 97 na kuwa na matokeo ya 2-1 kati ya 7. Nyota mwenye kiwango bora kabisa kwa sasa Anthony Davis ameendelea kuwanyanyasa Warriors bila huruma kwa kufunga alama 25, rebounds 13, blocks 4 na pasi za usaidizi wa kufunga 3. Mchezo wa 4 utapigwa mei 9, 2023 katika uwanja wa Lakers Crypto.com Arena Los Angeles, California.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz