Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Ilikuwa mechi ya ligi kati ya timu yake na Raith Rovers ambapo alimpiga kichwa John McStay.
Waendesha mashtaka wa nchi hiyo wakasema tukio lile lilikuwa la kihalifu japo lilifanyika kwenye mechi ya mpira.
Wakaenda kufungua kesi mahakamani na mwamba akakutwa na hatia. Akafungwa kwenye gereza la Barlinnie mjini Glasgow.
Rangers ni moja ya timu kubwa za Scotland, nyingine ni Celtic.
Post a Comment