Clatous Chama afungiwa na TFF - EDUSPORTSTZ

Latest

Clatous Chama afungiwa na TFF

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Kiungo wa Simba, Clatous Chama amefungiwa michezo mitatu ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kutozwa faini ya Sh 500,000.


Uamuzi huo umetolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), kutokana na kumkanyaga makusudi mchezaji Abal Kassim wa Ruvu Shooting wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara hivi karibuni, tukio lililotokea wakati wachezaji hao hawagombei mpira.


Kutokana na uamuzi huo, Chama sasa atakosa michezo miwili iliyobaki ya kumaliza msimu, ambayo timu yake itacheza.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz