Sadio Mane kupigwa bei mwishoni mwa msimu huu - EDUSPORTSTZ

Latest

Sadio Mane kupigwa bei mwishoni mwa msimu huu

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baada ya kumtoza faini ya €300K (Tshs. Milioni 772) kwa kitendo cha kumpiga Leroy Sane, Klabu ya Fc Bayern Munich wanafikiria kumuuza Sadio Mane ifikapo mwishoni mwa msimu.


Baada ya kumtoza faini ya €300K (Tshs. Milioni 772) kwa kitendo cha kumpiga Leroy Sane, Klabu ya Fc Bayern Munich wanafikiria kumuuza Sadio Mane ifikapo mwishoni mwa msimu. Sababu kubwa hasa ya maamuzi hayo taarifa zinasema mabosi hawakufurahishwa na kitendo cha kumshambulia Leroy Sane Juma lililopita baada ya mchezo dhidi ya Man City.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz