Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Msafara wa kikosi cha Rivers United, umewasili nchini Alfajiri ya leo Ijumaa kuelekea mchezo wa mkondo wa pili robo fainali ya kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga
Mchezo huo utapigwa Jumapili, April 30 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 1 usiku
Wakati Rivers wakiwasili, kikosi cha Yanga kiko kambini kikiendelea na maandalizi ya mchezo huo ambao Yanga inahitaji ushindi au matokeo yoyote ya sare ili kutinga nusu fainali
Yanga ilishinda mabao 2-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa UYO, Nigeria
No comments:
Post a Comment