Ratiba ya mechi za Simba mwezi April - EDUSPORTSTZ

Latest

Ratiba ya mechi za Simba mwezi April

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Baada ya mchezo dhidi ya Raja Casablanca uliopigwa huko Morocco usiku wa kuamkia leo, kikosi cha Simba kimeondoka Morocco kurejea Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya mechi zinazofuata


Simba inakabiliwa na mchezo wa kombe la FA dhidi ya Ihefu Fc ambao utapigwa April 07 katika uwanja wa Uhuru


Siku tatu baadae Simba itasafiri Mbarali Mbeya kwa ajili ya mchezo mwingine wa ligi kuu dhidi ya Ihefu Fc ambao utapigwa April 10


Utafuata mchezo wa dabi dhidi ya Yanga ambao utapigwa April 16 katika uwanja wa Benjamin Mkapa


Katika mwezi huu pia mechi mbili za robo fainali ligi ya mabingwa zitapigwa


Droo ya hatua ya robo fainali itafanyika Jumatano, April 05 huko Cairo, Misri




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz