Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Historia imeandikwa uwanja wa Benjamin Mkapa leo Yanga ikifanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya suluhu ya bila kufungana dhidi ya Rivers United
Ni historia kwa Tanzania, Yanga ikiwa timu ya kwanza kutinga nusu fainali katika michuano ya CAF
Hongera wachezaji, hongera benchi la ufundi, hongera viongozi wa Yanga na zaidi hongera Wananchi woteeeeeee
NUSU FAINALI IMEWEZEKANA....!
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment