Yanga yawakumbusha mashabiki wake jambo hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yawakumbusha mashabiki wake jambo hili

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Klabu ya Yanga imewakumbusha Wanachama na Mashabiki wake ambao wangependa kusafiri na timu DR Congo kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe ambao utapigwa April 02, safari ni Alhamisi March 30


Yanga inahitaji 'vibe' la mashabiki wake huko Lubumbashi katika mchezo ambao wanahitaji ushindi dhidi ya TP Mazembe ili kujihakikishia nafasi ya kwanza kwenye kundi D


Gharama ya safari ni Tsh 700,000/- ambayo ni nauli ya kwenda na kurudi, vibali, malazi ya siku tatu na tiketi ya kuingia uwanjani 



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz