Yanga yamfuta kazi Kocha wake - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yamfuta kazi Kocha wake

 

Sebastian Nkoma afutwa Kazi Yanga Princess
Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu ya Wanawake, Yanga Pirincess, Sebastian Nkoma.

Uamuzi huu umefikiwa baada ya makubaliano ya pande zote mbili.

Sebastian Nkoma afutwa Kazi Yanga Princess

Sebastian Nkoma afutwa Kazi Yanga Princess

Uongozi wa Yanga umesema kuwa unamshukuru Kocha Sebastian kwa kazi yake kipindi chote alichokuwa akiifundisha timu yetu ya Wanawake.

Kutokana na hilo benchi la ufundi la Yanga Princess litakuwa chini ya kocha Fredy Mbuna mpaka mwisho wa msimu huu wa 2022/2023.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz