VIDEO: Simba ilivyo wasili Morocco tayari kuwakabili Casablanca - EDUSPORTSTZ

Latest

VIDEO: Simba ilivyo wasili Morocco tayari kuwakabili Casablanca

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Msafara wa kikosi cha Simba umwesili salama nchini Morocco kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca


Mchezo huo utapigwa usiku wa kuamkia Jumamosi, April 1 saa 7 usiku


Baada ya kutua Morocco, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally amesema kikosi kitakuwa na mpumziko na watafanya mazoezi yao ya mwisho majira ya usiku


Muda wa mchezo unaweza kuwa changamoto kwa Watanzania kwani watalazimika kusubiri April 1 saa saba usiku wakati kwa Morocco mchezo utapigwa March 31 saa nne usiku






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz