Kuiona Yanga vs Geita gold ni buku 2 tu ( viingilio ) - EDUSPORTSTZ

Latest

Kuiona Yanga vs Geita gold ni buku 2 tu ( viingilio )


 Vinara wa ligi kuu ya NBC Yanga Jumapili watashuka uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuikabili Geita Gold katika mchezo wa ligi raundi ya 24


Wakiwa kileleni mwa msimamo wa ligi kwa tofauti ya alama nane, Yanga wanahitaji kushinda mechi nne zinazofuata ili kutetea ubingwa kwa msimu wa pili mfululizo

Nabi afunguka kinachoendelea kati yake na beki mpya wa Yanga Mamadou Dombia

Wananchi wanazihitaji alama zote tatu katika mchezo dhidi ya Geita Gold ili kuzidi kusogelea ubingwa wa 29 katika historia


Yanga imetangaza viingilio vya mchezo huo utakaopigwa saa 12:15 jioni ambao VIP A ni Tsh 10,000/-. VIP B ni Tsh 5,000/- na Mzunguuko ni Tsh 2,000/-

Je unatafuta Ajira tembelea tovuti hii Sasa Kwa matangazo yote ya kazi BOFYA HAPA SASA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz