Droo robo fainali ligi ya mabingwa, Shirikisho Jumatano ijayo - EDUSPORTSTZ

Latest

Droo robo fainali ligi ya mabingwa, Shirikisho Jumatano ijayo

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Droo ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika na kombe la Shirikisho, itafanyika Jumatano ijayo April 05 huko Cairo, Misri


Wananchi Yanga watakuwa miongoni mwa timu nane ambazo zitahusika katika droo ya robo fainali ya kombe la Shirikisho


Mechi za kuhitimisha makundi zinapigwa mwishoni mwa wiki hii Yanga ikitarajiwa kuondoka Dar leo kuifuata TP Mazembe kwa ajili ya mchezo utakaopigwa April 02 huko Lubumbashi pia Simba ni miongoni mwa timu nane zilizofuzu robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa ikimaliza kwenye nafasi ya pili kutoka kundi C


Mechi za kuhitimisha makundi zinapigwa mwishoni mwa wiki hii Simba ikimaliza mechi yake ya mwisho dhidi ya Raja Casablanca huko Morocco mchezo ukipigwa saa saba usiku wa kuamkia Jumamosi


Yanga imepania kumaliza kileleni mwa kundi D ili kuanzia mechi ya robo fainali ugenini na kisha kumalizia nyumbani huku

Simba ikiwa tayari kukutana na yeyote katika hatua ya robo fainali kwani hakuna timu nyepesi katika hatua hiyo



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz