Crystal palace Yamfuta kazi kocha wao mkuu - EDUSPORTSTZ

Latest

Crystal palace Yamfuta kazi kocha wao mkuu

 

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya Crystal Palace inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza imemfuta kazi Meneja Patrick Vieira baada ya kuiongoza kwa miezi 18.


Vieira ameondoka Palace baada ya michezo 12 bila ushindi katika mashindano yote, ushindi wake wa mwisho ukiwa dhidi ya Bournemouth kwenye mkesha wa Mwaka Mpya 2022


Palace walitupwa nje  michuano ya FA katika raundi ya tatu dhidi ya Southampton inayoshika mkia kwenye Ligi Kuu ya Uingereza, huku wakiporomoka hadi kufikia pointi tatu kwenye eneo la kushuka daraja


Mechi ya mwisho ya Vieira kuinoa Palace ilikuwa kupoteza 1-0 dhidi ya wapinzani wao Brighton, mchezo wa nne mfululizo ambapo klabu hiyo ya London kusini ilishindwa kufunga bao



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz