Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club - EDUSPORTSTZ

Latest

Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club

Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club

Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club

Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Simba 2023, Matokeo Uchaguzi Mkuu Simba Sports Club leo, Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Simba SC 2023, Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Simba, Matokeo Uchaguzi Mkuu wa Simba Sports Club, Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa simba 2023.

Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club

Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club

Murtaza Mangungu amefanikiwa kutetea kiti chake baada ya kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba Sports Club kwa muda wa miaka minne katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana January 29, 2023.

Mangungu ametetea nafasi yake baada ya kumshinda Adv. Moses Kaluwa kwa kura 1311 dhidi ya 1045 alizopata mpinzani wake.

Aidha Matokeo ya Uchaguzi huo yalichelewa kutangazwa kutokana na zoezi la uhesabiaji kuchukua muda mrefu kutokana na idadi kubwa ya wanachama waliojitokeza kupiga kura.

Kwa mara ya kwanza Mangungu alichaguliwa Mwenyekiti wa klabu hiyo miaka miwili iliyopita akichukua nafasi ya Swedi Mkwabi aliyejiuzulu nafasi hiyo.

Idadi ya kura walikuwa 2363 Kura halali ni 2356 na kura zilizoharibika ni 7.

Kwa upande wa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi walioshinda ni

1:Dr Seif Ramadhan Muba 1636
2:Asha Baraka 1564
3:CPA Issa Masoud Iddi 1285
4:Rodney Chiduo 1267
5:Seleman Harubu 1250

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

The post Murtaza Mangungu Mwenyekiti mpya Simba Sports Club appeared first on Nijuze Mpya.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz