YANGA yatupwa Shirikisho CAF - EDUSPORTSTZ

Latest

YANGA yatupwa Shirikisho CAF

YANGA yatupwa Shirikisho CAF

YANGA yatupwa Shirikisho CAF

YANGA yatupwa Shirikisho CAF

YANGA yatupwa Shirikisho CAF

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ( NBC Premier League), Klabu ya Yanga SC imeangukia kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Al Hilal bao 1-0.

Yanga imepoteza mchezo huo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika na kuondolewa kwenye Michuano hiyo kwa jumla ya mabao 2-1.

Bao pekee la Al Hilal kwenye mchezo huo lilifungwa dakika ya 3 na Mohammed Abdulrahman Yousif akimalizia krosi iliyopigwa na Kiungo Yassir Muzamir.

Taarifa zaidi ya mchezo huu bofya HAPA

The post YANGA yatupwa Shirikisho CAF appeared first on Nijuze Mpya.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz