KOCHA WA REAL BETIS ATAMBULISHWA AZAM FC-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

KOCHA WA REAL BETIS ATAMBULISHWA AZAM FC-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

KLABU ya Azam FC imetambulisha  Mspaniola, Dani Cadena kuwa kocha mpya wa makipa kuelekea msimu ujao, huo ukiwa ni mkakati wa kurejesha makali ya timu.
Cadena ni kocha wa zamani wa makipa wa klabu za  Ligi Kuu Hispania, ijulikanayo kama La Liga za Sevilla na Real Betis, ambaye pia ameshafanya kazi nchini China na Asaudi Arabia akiwa na uzoefu mkubwa  na elimu ya juu ya Shirikisho la Soka la Ulaya UEFA.
Kocha huyo ametambulishwa siku moja na wachezaji wawili wapya, viungo washambuliaji kutoka Ivory Coast, Tape Edinho na Kipre Junior Zunon kutoka Sol FC na Tape Edinho kutoka ES Bafing zote za kwao, ambao wote wamesaini mkataba wa miaka mitatu kila mmoja.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz