Nigeria: Mume wa Marehemu Mwanamuziki wa Injili Osinachi Afikishwa Mahakamani Kwa Mauaji Haya Ndio Yaliyojiri - EDUSPORTSTZ

Latest

Nigeria: Mume wa Marehemu Mwanamuziki wa Injili Osinachi Afikishwa Mahakamani Kwa Mauaji Haya Ndio Yaliyojiri

 

Peter Nwachukwu ambaye ni Mume wa Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Osinachi Nwachukwu (aliyefariki mwezi Aprili) amekana mashtaka yote yanayohusiana na kifo chake na madai ya unyanyasaji katika ndoa yao

Peter anakabiliwa na jumla ya mashtaka 23, baadhi yakihusiana na Unyanyasaji wa Nyumbani (unyanyasaji wa kihisia na kisaikolojia) na kuua bila kukusudia

Baadhi ya nyimbo alizoshiriki Osinachi ni kama Nara Ekele akiwa na Mchungaji Paul Enenche na Ekwueme akiwa na Prospa Ochimana





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz