Kiwanja kimeshuka Bei: Mapinga Baobab sec - EDUSPORTSTZ

Latest

Kiwanja kimeshuka Bei: Mapinga Baobab sec




Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 1000 (mita 30/35) kinauzwa bei nafuu sana kwa tsh 14 milion au tsh 14000 kwa sqm.

Kiwanja kipo jiran na shule ya secondary Mapinga umbali wa km 1 tu kutoka Main road ya dar to Bagamoyo.

Kiwanja kinafaa kwa makazi au biashara (haswa nyumba za kupangisha)
Huduma zote zipo.

Tumeshusha Bei kutoka mil 18 mpaka mil 14 ili kupata mteja wa haraka zaidi.

Piga simu 0758603077




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz