KAGERA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA DODOMA JIJI KAITABA -Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

KAGERA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA DODOMA JIJI KAITABA -Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
WENYEJI, Kagera Sugar jana walilazimshwa sare ya 1-1 na Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bata Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Waziri Junior alianz akuifungia Dodoma Jiji dakika ya 60, kabla ya Abeid Athumani kuisawazishia Kagera Sugar kwa penalti dakika ya 83.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz