RASMI, DTB NI TIMU YA LIGI KUU MSIMU UJAO-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

RASMI, DTB NI TIMU YA LIGI KUU MSIMU UJAO-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeithibitisha klabu ya DTB ya Dar es Salaam kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu unaitwa, 2022-2023.
Hiyo ni baada ya DTB kufikisha pointi 65 kileleni mwa Championship, tatu zaidi ya Ihefu inayofuatia na nane zaidi ya Kitayosce inayoshika nafasi ya tatu kuelekea mechi mbili za nwisho.
Timu mbili za juu Championship zitapanda Ligi Kuu moja kwa moja na mbili zitakwenda kumenyana na timu za Ligi Kuu kuwani kupanda.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz