SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeithibitisha klabu ya DTB ya Dar es Salaam kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu unaitwa, 2022-2023.
Hiyo ni baada ya DTB kufikisha pointi 65 kileleni mwa Championship, tatu zaidi ya Ihefu inayofuatia na nane zaidi ya Kitayosce inayoshika nafasi ya tatu kuelekea mechi mbili za nwisho.
Timu mbili za juu Championship zitapanda Ligi Kuu moja kwa moja na mbili zitakwenda kumenyana na timu za Ligi Kuu kuwani kupanda.
Hiyo ni baada ya DTB kufikisha pointi 65 kileleni mwa Championship, tatu zaidi ya Ihefu inayofuatia na nane zaidi ya Kitayosce inayoshika nafasi ya tatu kuelekea mechi mbili za nwisho.
Timu mbili za juu Championship zitapanda Ligi Kuu moja kwa moja na mbili zitakwenda kumenyana na timu za Ligi Kuu kuwani kupanda.
No comments:
Post a Comment