KOCHA Mkuu na Meneja wa Klabu ya Mbeya Kwanza, Mbwana Makata na David Naftar wameliomba radhi Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi kwa tukio walilolifanya na kusababisha kufungiwa kwa miaka mitano kutojihusisha na soka.
elru87tYGBGEm
No comments:
Post a Comment