Mbwana Makata na David Naftar Wachutama na Kuiomba Radhi TFF - EDUSPORTSTZ

Latest

Mbwana Makata na David Naftar Wachutama na Kuiomba Radhi TFF



KOCHA Mkuu na Meneja wa Klabu ya Mbeya Kwanza, Mbwana Makata na David Naftar wameliomba radhi Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi kwa tukio walilolifanya na kusababisha kufungiwa kwa miaka mitano kutojihusisha na soka.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz