LIVERPOOL YAICHAPA ASTON VILLA 2-1 -Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

LIVERPOOL YAICHAPA ASTON VILLA 2-1 -Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

TIMU ya Liverpool imeweka hai matumaini ya ubingwa baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa Villa Park Birmingham.
Mabao ya Liverpool yamefungwa na Joel Matip dakika ya sita na Sadio Mane dakika ya 65 baada ya Aston Villa kutangulia kwa bao la  Douglas Luiz dakika ya tatu.
Liverpool inafikisha pointi 86 katika mchezo wa 36, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa wastani wa mabao na Manchester City ambayo pia ina mechi moja mkononi.
Aston Villa yenyewe inabaki na pointi zake 43 za mechi 35 nafasi ya 11.  




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz